KINANA ATEMBELEA CHUO CHA VETA MAKETE

Saturday, December 07, 20130 comments

 Katibu mkuu wa CCM Ndg Kinana akisalimiana na wafanyakazi wa chuo cha ufundi stadi VETA Makete wakati alipotembelea chuo hicho mapema leo jioni
 Katibu wa NEC Siasa na uhusiano wa kimataifa Dkt. Asharose Migiro (wa pili kulia) akicheza muziki wa kuifagilia CCM wakati alipotembelea chuo cha VETA Makete, kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro naye akicheza muziki
 Mkurugenzi wa VETA kanda ya nyanda za juu kusini Monica Mbele akisoma taarifa ya chuo cha VETA Makete kwa katibu mkuu wa CCM ndg Abdulrahman Kinana
Mkurugenzi Monica akikabidhi taarifa ya chuo cha veta Makete kwa Ndugu Kinana
 Katibu wa NEC itikadi na uenezi Nape Nnauye akitumia cherehani katika darasa la ushonaji chuo cha VETA Makete
Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwenye darasa la ushonaji VETA Makete
 Hapa Kinana kapewa shati, analijaribu
 Ndg Kinana akipanda mti VETA Makete
Katibu NEC siasa na uhusiano wa kimataifa Dkt. Asharose Migiro akiwa na mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro wakila pozi lao kwenye chuo cha VETA Makete
picha ya pamoja.(Picha zote na Edwin Moshi)
Share this article :

Post a Comment

 

Copyright © 2013. MAKETE BLOG - All Rights Reserved
Designed by Edwin Moshi
Property of Makete District Council