Rais
Jakaya Kikwete akizindua rasmi chuo cha VETA wilaya ya Makete ambacho
ni chuo cha kwanza kujengwa na kukamilika ngazi ya wilaya kati ya wilaya
zote Tanzania 19.10.2013
Redio
Kitulo FM ambayo inamilikiwa na halmashauri ya wilaya ya Makete. Hii ni
redio ya jamii ambayo inasikika kupitia masafa ya 97.0 FM ukiwa Makete
na maeneo jirani
Maandalizi ya ujenzi wa barabara ya lami Makete mjini
Post a Comment